Bendera za CCM ziliwa zimepambwa jioni hii kwenye Uwanja wa Community Cetre, Mwanga mkoani Kigoma tayari kwa mkutano wa hadhara wa CCM utakaofanyika kwenye Uwanja huo Jumapili hii
Vijana wakiwa katika maandalizi ya Jukwaa kuu kwa ajili ya mkutano huo ambao umepangwa kuhutubiwa na Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye na baadhi ya Mawaziri na Naibu Mawazir
1. Wahiraki, Hawa ni wanawake wa jamii ya Wahiraki wa napatikana kaskazini mwa Tanzania wamezagaa mikoa ya manyara ni weupe Wana Umbo zuri wanavutia kwa Macho. 2. Warangi, Hawa ni wanawake jamii ya Warangi ni wazuri nywele zao ni asili ya waraabu weupe sura nzuri wanapatikana kondoa. 3. Wanyiramba. Hawa ni warembo Sana sura matata wanapatikana mkoa wa singida kaskazini, usipokua makini utawafananisha na wanyaturu 4. Wamasai, kabila hili wanawake wazuri sio wengi Sana lakini ukikutana na sampuli Tatu au nne hivi utauza hata boxa kuongezea mahari wamezagaa Sana Arusha 5. Wahaya, hawa nao ni jamii ya Kanda ya ziwa maumbile Yao Kuna weupe miguu Yao ya bia shape matata wamejaa Sana bukoba. 6. Wanyaturu, Hawa wanafanana na Wanyiramba wanapatikana singida hasa ikungi na manyoni weupe wanavutia 7. Wapare, Hii ni jamii ya kabila la Wapare wanapatikana moshi wilaya ya same wako vizuri usicheze kabisa na hili kabila shape nzuri. 8 .Wamakonde, ...
RAIS wa klabu ya Yanga Injinia Hersi SAID amethibitisha kuwa mdhamini na mfadhili wa Klabu yetu, Ghalib Said Mohammed (GSM) ameridhia kushiriki kufanikisha ujenzi wa uwanja wa kisasa wa Young Africans Sports Club, katika eneo la Makao Makuu ya Klabu yetu, Jangwani, Jijini Dar Es Salaam. Injinia Hersi ameyasema hayo leo Februari 11, 2024 Mkoani Mbeya kwenye sherehe za miaka 89 za kuzaliwa kwa Klabu hiyo kongwe na yenye mafaniko zaidi nchini Tanzania. “Baada ya mazungumzo ya muda mrefu na mdhamini na mfadhili wa Klabu yetu, Ghalib Said Mohammed (GSM), nipende kuwataarifu Wanachama na Mashabiki wa Klabu yetu kuwa leo, GSM ameridhia kwa dhati kushiriki kwenye kufanikisha ujenzi wa uwanja wa kisasa wa Young Africans Sports Club, katika eneo la Makao Makuu ya Klabu yetu, Jangwani, Jijini Dar Es Salaam.” Injinia Hersi “Nichukue fursa hii kumshukuru sana GSM kwa dhamira hiyo inayokwenda kutimiza ndoto ya Uongozi wangu, Kamati ya Utendaji na Wanachama na Mashabiki wa Young Africans kwa ku...
Na Prince Akbar, DAR ES SALAAM WACHEZAJI wa Yanga kwa siku ya pili leo wameendelea na mgomo kufanya mazoezi wakishinikiza walipwe mishahara yao ya Novemba. Ni wachezaji wawili tu walioonekana Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam asubuhi ya leo, kipa Ally Mustafa ‘Barthez’ na beki Oscar Joshua. Zaidi ya hapo walitokea makocha tu, George Lwandamina na Wasaidizi wake, Noel Mwandila Mzambia mwenzake na wazalendo, Juma Mwambusi, kocha wa makipa Juma Pondamali, Meneja Hafidh Saleh, Daktari Edward Bavu, Mchua Misuli Jacob Onyango na Mtunza Vifaa Mohammed Omar ‘Mpogolo’. Kaimu Katibu Mkuu wa Yanga, Baraka Deusdedit alifika Uwanja wa Uhuru na kukutana na hali hiyo ya kushangaza na akaenda kuzungumza na Lwandamina baadaye Mwambusi na Hafidh. Baada ya hapo wote wakaondoka na leo asubuhi mazoezi hayakufanyika Yanga. Mgomo huo ulianza ghafla jana baada ya wachezaji kufika Uwanja wa Uhuru jioni, lakini wakagoma kuingia uwanjani kufanya mazoezi. Uongozi wa Yanga umekanusha kuwapo kwa madai ya...
Balozi wa China nchini Tanzania Chen Mingjian akilakiwa kwa bashasha na Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Dodoma ambaye pia ni Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake (UWT) wa Mkoa huo, Dkt. Neema Majule alipowasili katika Shule ya Rhema eneo la Mlimwa kwa ajili ya kukabidhi msaada wa cherehani 120 kwa wanawake wa Dodoma Mei 27, 2026. Balozi huyo pamoja na ujumbe wake wameonesha kufurahishwa na mapokezi hayo yaliyohanikizwa na wanafunzi, walimu na baadhi ya wanawake wa mkoa huo waliokuwa wakipeperusha bendera za Taifa za China na Tanzania pamoja na ngoma ya asili ya kabila la wagogo iliyokuwa ikichezwa na wanafunzi wa shule hiyo. Balozi Mingjian na Dkt. Majule wametiliana saini mkataba wa makubaliano ya ushirikiano baina ya wanawake wa China na wanawake wa Mkoa wa Dodoma. Akizungumza wakati wa hafla hiyo, Balozi Mingjian ameusifu ushirikiano wa kihistoria uliopo baina ya China na Tanzania. IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA - 0754264203
Pacome Zouzoua alizaliwa tar 30 April 1997 nchini Ivory Coast ktk kitongoji cha Port. Hadi sasa ana umri wa miaka 26, ni kiungo wa kati mwenye uwezo wa kipekee anayetumia zaidi mguu wa kulia ktk kazi yake ya mpira. Alijiunga na Yanga tar 19 - 7 - 2023 majira ya saa 5 usiku akitokea ktk Club ya Asec Mimosas ya nchini Ivory Coast. Ni mchezaji mkakamavu mwenye wepesi miguuni anapokuwana mpira, hujituma sana awapo uwanjani na inavyosemekana ni tofauti sana na awapo ktk mazoezi ya kujiandaa na mechi, lakini siku za mechi kila mara amekuwa moto zaidi nakuwa mkombozi kwa timu kwa kuinasua kimatokeo. Nitaendelea kumpatia maua yake siku zote atakazokuwa ndani ya Young African Sports Club. Pacome Zouzoua anaujuaaaaa.
Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Dodoma, Dkt. Neema Majule ameitaka Serikali kuweka mkakati wa kusaidia wahitimu wa vyuo kutumia vyeti vyao kama dhamana kupata mikopo ya kuanzisha miradi ya uwekezaji. Mahoji hilo wakati wa kipindi cha maswali na majibu bungeni Dodoma Mei 21,2026.
Image copyright AP Image caption Dkt Besigye amekamatwa akielekea makao makuu ya Tume ya Uchaguzi Kiongozi wa chama cha upinzani cha Forum for Democratic Change (FDC) nchini Uganda Kizza Besigye amekamatwa tena na maafisa wa polisi. Watu walioshuhudia wanasema amekamatwa alipokuwa akijaribu kuondoka nyumbani kwake. Amekuwa kwenye kizuizi cha nyumbani tangu Ijumaa wakati polisi walimtuhumu kupanga kujitangazia matokeo. Mtazamo wa Kizza Besigye kuhusu uchaguzi Museveni: Uchaguzi wa Uganda ulikuwa shwari Image caption Besigye alizuiliwa na polisi mara tatu wiki iliyopita Wakili wake amethibitisha habari za kukamatwa kwake. Awali kulikuwa na habari kwamba angefika makao makuu ya Tume ya Uchaguzi kuitisha matokeo rasmi ya kina ya uchaguzi wa urais. Image copyright AFP Image caption Polisi walivamia afisi za chama cha FDC Ijumaa wiki iliyopita Tume ya Uchaguzi ilimtangaza Rais Yoweri Museveni kuwa mshindi wa uchaguzi wa urais uliofanyika Alhamisi wiki iliyopita.
Image copyright BBC World Service Image caption Besigye anawania urais kwa mara ya nne Kanali (Mstaafu) Dkt Kizza Besigye Kifeefe alizaliwa mwaka 1956 katika wilaya ya Rukungiri, magharibi mwa Uganda. Besigye alifuzu kama daktari baada ya kusomea Chuo Kikuu cha Makerere, mjini Kampala. Alijiunga na chama cha Museveni cha Uganda Patriotic Movement muda mfupi baada ya kuondolewa madarakani kwa Idi Amin 1978. Mwaka 1982, alijiunga na Museveni vitani baada ya kuzuiliwa miezi miwili katika hoteli moja mjini Kampala akituhumiwa kushirikiana na waasi. Baada ya Museveni kuingia uongozini, alimteua Dkt Besigye, wakati huo akiwa na umri wa miaka 29, kuwa waziri wa nchi aliyesimamia masuala ya ndani na masuala ya siasa za taifa. Dkt Besigye alipanda cheo jeshini na kufikia cheo cha kanali. Alistaafu muda mfupi kabla ya uchaguzi mkuu wa 2001, miezi michache kabla ya kujitokeza na kutangaza kwamba angewania urais. Image copyright AFP Image caption Besigye aliwahi kukimbilia uhami...
Rais wa Yanga SC, Eng. Hersi Said 🇹🇿, ameonyesha dhamira kubwa ya kuendelea kujifunza baada ya kuamua kurejea darasani kuongeza elimu zaidi kwa ajili ya kuimarisha uwezo wake wa kiuongozi na miradi anayoisimamia sasa pamoja na ile inayokuja. Inaelezwa kuwa Eng. Hersi Said amejiunga na moja ya taasisi kubwa za elimu nchini Uingereza, inayojulikana kama University of Oxford, hatua inayotafsiriwa kama jitihada za kujiongezea maarifa kwa maendeleo makubwa zaidi ya baadaye. Mashabiki wengi wa Yanga SC wamepokea hatua hiyo kwa furaha, wakiamini elimu hiyo itaongeza mchango mkubwa katika maendeleo ya klabu na miradi yake ya kimkakati. #KipengaSportUPDATES
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hasan amemteua Ummy Ally Mwalimu kuwa mshauri wa Rais anayeshughulikia masuala ya Afya na Ustawi wa Jamii Mama na Mtoto.
Comments