BONDIA IBRAHIM CLASS AJIFUA KUJIANDAA NA PAMBANO LAKE NA SIMBA WA TUNDURU IDI PILI

Bondia Ibrahimu Class (kulia) akipambana na Whence Haluni 'West Scopion' wakati wa mazoezi yanayoendelea katika kambi ya Ilala Dar es salaam. Class ameanza mazoezi makali ikiwa ni maalum kujiandaa na pambano lake na Simba wa Tunduru, litakalofanyika Sikukuu ya Idi pili katika ukumbi wa Diamond Jublee. Picha Super D.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA