CHAMA CHA WALIMU TANZANIA (CWT) CHATOA NOTISI SAA 48 KWA SERIKALI VINGINEVYO KUANZA MGOMO JUMATATU

 Rais wa chama cha walimu Tanzania (CWT)Gratian Mukoba (katikati) akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani)leo makao makuu ya chama cha walimu Tanzania (CWT)jijini Dar es salaam juu ya Baraza la (CWT) ambalo limetoa notisi ya saa 48 kwa serikali kuanzia jana tarehe 27 Julai,2012 saa 8.00 mchana baada ya saa hizo walimu wataanza mgomo rasmi kuanzia siku ya jumatatu tarehe 30 Julai,2012.hiyo imepeleka baada ya kura zote kupigwa .asilimia 95.7 ya wanachama na wanachama wote kuunga mkono mgomo huo.ni walimu wanaofundisha katika shule za awali,msingi,sekondari,maafisa walioko kwenye ukaguzi  wa shule na wanafunzi wa vyuo vya ualimu na maendeleo ya jamii, kulia ni makamu wa Rais (CWT) Honoratha Chitanda na kushoto Mweka hazina wa   
chama cha walimu Tanzania (CWT)Bw. Mohamed  Utaly


Pia Gratian Mukoba amewataka walimu kushiriki mgomo huo halali ambao umeitishwa na chama kwa mujibu wa sheria nakusema mgomo huo hauhusiani na zoezi la sensa.
.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

Wasifu wa Kizza Besigye

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA