CHAMELEONE ATUA JIJINI DAR, TAYARI KWA SHOO YA LEO

Jose Chameleone akiwa Uwanja wa Taifa wa Julius Nyerere baada ya kuwasili leo.
Chameleone akitoa saluti kwa waliofika kumpokea.
Chameleone akilakiwa na mmoja wa waratibu wa Tamasha la Matumaini, Benjamin Mwanambuu.
...Wakielekea kwenye gari.
...Akishuka ndani ya gari nje ya ofisi za Global Publishers.

Msanii Jose Chameleone kutoka nchini Uganda, ametua jijini Dar es Salaam muda huu tayari kwa shoo ya Tamasha la Matumaini linalofanyika Uwanja wa Taifa jijini Dar.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

Wasifu wa Kizza Besigye

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA