CHAMELEONE ATUA JIJINI DAR, TAYARI KWA SHOO YA LEO

Jose Chameleone akiwa Uwanja wa Taifa wa Julius Nyerere baada ya kuwasili leo.
Chameleone akitoa saluti kwa waliofika kumpokea.
Chameleone akilakiwa na mmoja wa waratibu wa Tamasha la Matumaini, Benjamin Mwanambuu.
...Wakielekea kwenye gari.
...Akishuka ndani ya gari nje ya ofisi za Global Publishers.

Msanii Jose Chameleone kutoka nchini Uganda, ametua jijini Dar es Salaam muda huu tayari kwa shoo ya Tamasha la Matumaini linalofanyika Uwanja wa Taifa jijini Dar.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI