CHEKA ATAKIWA KULIPA MIL.100 KWA KUINGIA MITINI

SIKU moja baada ya kamisheni ya masumbwi ya kulipwa nchini (TPBO) kumuondoa bondia Francis Cheka katika mabondia wanaowasiamia, promota wa ngumi nchini Kaike Siraju amemtaka bondia huyo kumlipa sh.mil.100.

Hatua hiyo inafuatia Cheka kuingia mitini katika pambano lake la kuwania ngao ya hisani dhidi ya Japheti Kaseba lilokuwa lifanyike Julai 7 kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

Kaike alisema kuwa Cheka hana budi kulipa fedha hizo kama fidia ya ghara zilizotumika katika maandalizi ya mpambano huo. Chanzo; Dina Ismail Blog

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA