EPIQ EPIQ BONGOOOOOO


Hadi kufikia mida ya saa 12:00 jioni kumekuwa na zaidi ya washiriki 1100 ambao wameweza kukutana na majaji na wengine zaidi ya 150 wakiombwa warudi tena siku ya kesho ili kufanyiwa usaili. Mwamko wa washiriki umekuwa wa kushangaza. Kesho majaji watakutana na baadhi ya washiriki ambao hawakupata nafasi ya kuwaona majaji leo ikiwa ni pamoja na kuchagua watano wakali kutoka Mwanza watakaoenda kuwakilisha mkoa huu.
Kaaazi kwelikweli mistari inavyokuwa migumu kwa washiriki majaji hulazimika kujinyoosha.

Mr Sajid Khan Zantel Chief Commercial Officer, Deepak Gupta Zantel's Director of Marketing and Mr. Wilson Kabwe Mwanza City Directo (Standing Up) discussing with Kwanzaa City Counselors
Washiriki kwenye folemi.
Dah nimechemka!

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA