Mmiliki wa Blogu ya Full Shangwe, John Bukuku (kulia), akimkabidhi mke wa Msanii wa Filamu, Juma Kilowoko 'Sajuki', Wastara Juma msaada wa sh. 100,000 za kusaidia matibabu ya Sajuki. Msaada huo ulitolewa leo jijini Dar es Salaam, katika mkutano wa wasanii wa filamu wa kutangaza ziara mikoani kuonesha filamu mpya ya 'Sayla' ambapo fedha zitakazopatikana zitasaidia matibabu ya Sajuki. (PICHA NA RICHARD MWAIKENDA)
Anjela Karashani akifafanua jambo wakati wa mkutano huo. Kushoto ni Wastara Juma
Anjela Karashani akifafanua jambo wakati wa mkutano huo. Kushoto ni Wastara Juma
Comments