FILAMU YA SAYLA YA KUCHANGIA MATIBABU YA SAJUKI KUZINDULIWA ARUSHA

 Mmiliki wa Blogu ya Full Shangwe, John Bukuku (kulia), akimkabidhi mke wa Msanii wa Filamu, Juma Kilowoko 'Sajuki', Wastara Juma msaada wa sh. 100,000 za kusaidia matibabu ya Sajuki. Msaada huo ulitolewa leo jijini Dar es Salaam, katika mkutano wa wasanii wa filamu wa kutangaza ziara mikoani kuonesha filamu  mpya ya 'Sayla' ambapo fedha zitakazopatikana zitasaidia matibabu ya Sajuki. (PICHA NA RICHARD MWAIKENDA)
                        Anjela Karashani akifafanua jambo wakati wa mkutano huo. Kushoto ni Wastara Juma

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.