Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Anne Makinda,akiongoza Ujumbe wa Wabunge hilo walipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo kutoa  pole kwa Rais, kutokana na msiba wa ajali ya Meli ya Mv Skagit ya Kampuni ya Seagul iliyozana juzi ikitokea Dar es Salam na kuelekea Zanzibar.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akipokea Salam za Rambi rambi kutoka Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Anne Makinda, akiongoza Ujumbe wa Wabunge hilo walipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo kutoa  pole kwaRais, kutokana na msiba wa ajali ya Meli ya Mv Skagit.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Miundombinu Peter Serukamba, akiwa miongoni mwa Wabunge walipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo kutoa  pole kwa Rais, kutokana na msiba wa ajali ya Meli ya Mv Skagit ya Kampuni ya Segul iliyozana juzi ikitokea Dar es Salam na kuelekea Zanzibar.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Mjumbe wa Kamati Mambo ya Nje,Ulinzi na Usalama Cynthia Hilda Ngoya, akiwa katika Ujumbe wa Wabunge  walipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo kutoa  pole kwa Rais, kutokana na msiba wa ajali ya Meli ya Mv Skagit.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Margareth Sitta, ambaye pia ni mmoja kati ya Wajumbe wa bunge la Jamhuri waliofika Ikulu Mjini Zanzibar leo kutoa  pole kwa Rais.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Spika wa  Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Anne Makinda, pamoja na Ujumbe Wabunge aliofuatana nao wakati walipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo.Picha na Ramadhan Othman,Ikulu-Zanzibar

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI