KAMERA YE2 KIGOMA


 Stesheni Kuu ya Usafiri wa treni kwa njia ya reli kutoka mkoani Kigoma
 Moja ya majengo ya kisasa yanayobadili taswira ya mkoa wa Kigoma kimaendeleo. Jengo hili ni la Shirika la Nyumba Tanzania, mjini Kigoma, barabar Kuu ya kwenda nje ya mji huo kutoka eneo la Stesheni Kuu ya  reli
 Usafiri wa reli bado ndiyo usafiri unaotegemewa sana kutoka mkoani Kigoma kwenda mikoa mingine na baadhi ya maeneo ya pembezoni mwa mkoa. Pichani, abiria waliokuwa wakitaka kusafiri kwa treni jana kutoka stesheni kuu ya reli mkoani humo wakiwa katika foleni ya kukata tiketi
 Baadhi ya abiria wanaotoka vijijini hulazimika kulala stesheni kama hawa,
 Trafiki ni Tanzania nzima! askari wa kikosi hicho akimhoji jambo mwendesha pikipiki mjini Kigoma leo
 Ujasiriamali muhimu: Kina mama wakiwa katika biashara ndogo ndogo mjini Kigoma
 Kina Baba na Kina mama wakiwa katika biashara ya dagaa mjini Kigoma.
Wachuuzi wa vitunguu na mazao mengine katika Kijiji cha Bugaga, Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma wakishindana kukimbilia wateja, waliokuwa wanapita na magari katika kijiji hicho, juzi. (INARUHUSIWA PICHA HIZI KUTUMIKA KWENYE VYOMBO VINGINE VYA HABARI KWA HISANI YA DAILY NKOROMO BLOG

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

Wasifu wa Kizza Besigye

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA