Kongamano la Tatu la Ushirikiano wa Kimaendeleo na Upunguzaji Umaskini Kati ya China na Afrika

 Waziri wa Nchi, Uhusiano na Uratibu, Mhe. Stephen Wassira (Kulia) akimsikiliza kwa makini Mhe. Fan Xiaojian, Waziri, Ofisi Kiongozi ya Serikali ya Jamhuri ya Watu wa China, inayohusika na masuala ya Maendeleo na Kupunguza Umaskini (Katikati). Kushoto ni Mkalimani wa Waziri huyo.Kongamano hilo la Tatu la Ushirikiano wa Kimaendeleo na Upunguzaji Umaskini Kati ya China na Afrika, linafanyika katika Hoteli ya White Sands.
 Naibu Katibu Mtendaji (Uzalishaji) wa Tume ya Mipango, Maduka Kessy (Katikati) akizungumza na baadhi ya washiriki wa Kongamano hilo.
 Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango, Dkt. Philip Mpango (Kushoto) akizungumza na mmoja wa washiriki wa Kongamano hilo Li Xin kutoka China.
 Wadau wa habari nao hawakuwa nyuma katika kunasa matukio ya Kongamano hilo.
 Gavana wa benki kuu Profesa Beno Ndulu kushoto akiwa katika konamano hilo la kupunguza umasikini pamoja na wadau wengine.
Washiriki wa Kongamano wakiwa makini kufuatilia mawasilisho na mada mbali mbali zilizokuwa zikitolewa.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

Wasifu wa Kizza Besigye

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA