Mtoto Ahmed Bakari ambae anaulemavu wa akili na ambae alieshinda Mashindano ya Watoto wenye Ulemavu wa Akili katika mbio za Mita 400 na kunyakua Medali ya Dhahabu katika mashindano hayo ya Dunia yaliofanyika huko Athens Ugiriki.akisimama mbele ya Baraza la Wawakilishi la Zanzibar.na kusalimia Wajumbe hao.
  Waziri wa Habari Utamaduni Utalii na Michezo Said Ali Mbarouk akiwasilisha Hotuba ya Makadirio Mapato na Matumizi ya Wizara hio huko katika Baraza la Wawaklilishi la Zanzibar.
   Mwenyekiti wa Kamati ya Mifugo,Uwezeshaji,Habari na Utalii Asha Bakari akitoa taarifa ya Kamati hio kuhusu Wizara ya Habari Utamaduni Utalii na Michezo huko katika Baraza la Wawakilishi Mbweni nje ya Mji wa Zanzibar.
Baadhi ya Wananchi mbalimbali waliohudhuria katika Ukumbi wa Juu wa Baraza la Wawakilishi wakisikiliza Michangio mbalimbali ya Wajumbe wa Baraza hilo huko mbweni nje ya Mji wa Zanzibar.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

Wasifu wa Kizza Besigye

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA