MAFUNZO YA INTANETI KWA WAANDISHI HABARI WA MBEYA YAINGIA SIKU YA PILI

Waandishi wa mkoa wa Mbeya wakiwa makini kufuatilia mafunzo ya kompyuta jijini Mbeya


Waandishi wa Habari Gordon Kalulunga(TANZANIA DAIMA), Johnson Jabir(MBEYA FM) na Lina Mwambungu (BARAKA FM).


Mwandishi mkuu wa Mbeya yetu Joseph Mwaisango naye alikuwepo katika semina hiyo

MAFUNZO ya Intaneti kwa waandishi Habari leo yameingia siku yake ya pili katika Ukumbi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UCC) tawi la Mbeya chini ya Mwalimu Mdegela kutoka Chuo Kikuu cha Tumaini Dar es Salaam.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

Wasifu wa Kizza Besigye

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA