MAFUNZO YA INTANETI KWA WAANDISHI HABARI WA MBEYA YAINGIA SIKU YA PILI

Waandishi wa mkoa wa Mbeya wakiwa makini kufuatilia mafunzo ya kompyuta jijini Mbeya


Waandishi wa Habari Gordon Kalulunga(TANZANIA DAIMA), Johnson Jabir(MBEYA FM) na Lina Mwambungu (BARAKA FM).


Mwandishi mkuu wa Mbeya yetu Joseph Mwaisango naye alikuwepo katika semina hiyo

MAFUNZO ya Intaneti kwa waandishi Habari leo yameingia siku yake ya pili katika Ukumbi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UCC) tawi la Mbeya chini ya Mwalimu Mdegela kutoka Chuo Kikuu cha Tumaini Dar es Salaam.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI