MBONGO AENDELEA KUTOA DOZI KWA WAZUNGU:

Bondia mtanzania Omary Kimweri (kushoto) ambaye anaishi nchini Australia akimtandika Yodpichai Sithsaithong, kwenye pambano lililofanyika The Melbourne Pavilion, Flemington, Victoria, Australia JULY13, 2012.Huku promota wa pambano hilo akiwa Brian Amatruda Omari Kimweri bondia huyo mtanzania amekuwa akifanya vizuri katika mapambano yake nje ya nchi kutokana na umairi wake wa mchezo wa masumbwi mda mrefu na amekua akishi Australia kwa kutegemea mchezo huo
Kimweri akiendeleza mashambulizi.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI