MBUNGE MWAIPOSA ATOA MSAADA WA JEZI KWA KIVULE VETERANI

 Wachezaji wa timu ya Kivule Veterani, wakishangilia baada ya kupatiwa msaada wa jezi mpya na Ali Mwaiposa ambaye alikabidhi kwa niaba ya Mbunge wa Jimbo la Ukonga, Dar es Salaam, Eugen Mwaiposa katika hafla iliyofanyika baada ya mechi ya kirafiki kati ya timu hiyo na Kitunda Veterani kumalizika, kwenye Uwanja wa Shule ya Msingi Kitunda jana. (PICHA NA RICHARD MWAIKENDA)
Kocha wa timu ya Kivule Veterani, ambaye ni mchezaji wa zamani wa Simba Kureshi Ufunguo akipokea jezi kutoka kwa Ali Mwaiposa ambaye alitoa msaada kwa timu hiyo kwa niaba ya Mbunge wa Jimbo la Ukonga, Eugen Mwaiposa.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA