MBUNGE MWAIPOSA ATOA MSAADA WA JEZI KWA KIVULE VETERANI

 Wachezaji wa timu ya Kivule Veterani, wakishangilia baada ya kupatiwa msaada wa jezi mpya na Ali Mwaiposa ambaye alikabidhi kwa niaba ya Mbunge wa Jimbo la Ukonga, Dar es Salaam, Eugen Mwaiposa katika hafla iliyofanyika baada ya mechi ya kirafiki kati ya timu hiyo na Kitunda Veterani kumalizika, kwenye Uwanja wa Shule ya Msingi Kitunda jana. (PICHA NA RICHARD MWAIKENDA)
Kocha wa timu ya Kivule Veterani, ambaye ni mchezaji wa zamani wa Simba Kureshi Ufunguo akipokea jezi kutoka kwa Ali Mwaiposa ambaye alitoa msaada kwa timu hiyo kwa niaba ya Mbunge wa Jimbo la Ukonga, Eugen Mwaiposa.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

Wasifu wa Kizza Besigye

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA