Mbunge wa Kasulu , Moses Machali, ametolewa nje ya Bunge na Mwenyekiti wa Kikao cha Bunge, baada ya kupinga kipigo cha Dk. Ulimboka.
Hatua hiyo ilitokea wakati wa majibizano kati ya wabunge wa CCM na Chadema. ambapo Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Stellah Manyanya aliwaambia wana Chadema kuwa wanahusika kukuza mgomo wa madaktari nchini.
Hatua hiyo ilitokea wakati wa majibizano kati ya wabunge wa CCM na Chadema. ambapo Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Stellah Manyanya aliwaambia wana Chadema kuwa wanahusika kukuza mgomo wa madaktari nchini.
Comments