MBUNGE WA CHADEMA, MOSES MACHALI ATOLEWA BUNGENI AKIPINGA KIPIGO CHA DK. ULIMBOKA

Mbunge wa Kasulu , Moses Machali, ametolewa nje ya Bunge na Mwenyekiti wa Kikao cha Bunge, baada ya kupinga kipigo cha Dk. Ulimboka.

Hatua hiyo ilitokea wakati wa majibizano kati ya wabunge wa CCM na Chadema. ambapo Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Stellah Manyanya aliwaambia wana Chadema kuwa wanahusika kukuza mgomo wa madaktari nchini.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.