MELI ZA UOKOAJI ZAISHIWA MAFUTA

Habari zilizopatikana kupitia Televisheni  ya TBC,  kwamba meli na boti zinazosaidia kopoa maiti na walionusurika, zimeishiwa mafuta.

Serikali inahaha kutoa suluhisho la tatizo hilo.

Kamanda wa matukio itaendelea kuwapasha habari zaidi za tukio hilo kadri zitavyokuwa zinapatikana.

Tayari Waziri wa Mambo ya Ndani, Emmanuel Mchimbi amewasili Zanzibar, Pamoja na Makamu wa Rais, Dk Gharib Bilal

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA