Habari zilizopatikana kupitia Televisheni ya TBC, kwamba meli na boti zinazosaidia kopoa maiti na walionusurika, zimeishiwa mafuta.
Serikali inahaha kutoa suluhisho la tatizo hilo.
Kamanda wa matukio itaendelea kuwapasha habari zaidi za tukio hilo kadri zitavyokuwa zinapatikana.
Tayari Waziri wa Mambo ya Ndani, Emmanuel Mchimbi amewasili Zanzibar, Pamoja na Makamu wa Rais, Dk Gharib Bilal
Serikali inahaha kutoa suluhisho la tatizo hilo.
Kamanda wa matukio itaendelea kuwapasha habari zaidi za tukio hilo kadri zitavyokuwa zinapatikana.
Tayari Waziri wa Mambo ya Ndani, Emmanuel Mchimbi amewasili Zanzibar, Pamoja na Makamu wa Rais, Dk Gharib Bilal
Comments