Michezo ya Olimpiki yaanza hasa

Mashindano mbali mbali yaanza hasa Jumamosi katika michezo ya Olimpiki mjini London.
Moja ya michezo hiyo ni mashindano ya mbio za wanaume za baiskeli, lakini piya kuna gymnastics, kuogelea na basketboli.
Watu zaidi ya 15,000 walijitolea na kushiriki kwenye tamasha ya ufunguzi wa michezo Ijumaa usiku -
tamasha la fakhari la mchanganyiko wa watu, tamthilia na muziki.
Rais wa Kamati ya Olimpiki ya Kimataifa, Jacques Rogge, alisema sherehe hiyo ya ufunguzi ilionesha yote yaliyo mazuri katika ubunifu wa Uingereza.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA