Michezo ya Olimpiki yaanza hasa

Mashindano mbali mbali yaanza hasa Jumamosi katika michezo ya Olimpiki mjini London.
Moja ya michezo hiyo ni mashindano ya mbio za wanaume za baiskeli, lakini piya kuna gymnastics, kuogelea na basketboli.
Watu zaidi ya 15,000 walijitolea na kushiriki kwenye tamasha ya ufunguzi wa michezo Ijumaa usiku -
tamasha la fakhari la mchanganyiko wa watu, tamthilia na muziki.
Rais wa Kamati ya Olimpiki ya Kimataifa, Jacques Rogge, alisema sherehe hiyo ya ufunguzi ilionesha yote yaliyo mazuri katika ubunifu wa Uingereza.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

Wasifu wa Kizza Besigye

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA