Mratibu wa Tamasha la Pasaka, Alex Msama akimkabidhi William Dahani, msaada wa baiskeli iliyonunuliwa kutokana na sehemu ya mapato ya tamasha lililofanyika mwaka huu. Msama alitoa baiskeli zingine mbili kwa watu wenye ulemavu katika hafla iliyofanyika, Dar es Salaam leo. Baikeli hizo tatu zina thamani ya sh. mil. 1.5. (PICHA NA RICHARD MWAIKENDA)
Dahani akiondoka na baiskeli yake baada ya kukabidhiwa na Msama
Msama akimkabidhi Dahani fedha za kufanyia marekebisho baikeli hiyo
Msama akimsaidia Salim Abilu baada ya kumpatia msaada wa baiskeli
Abilu akishukuru kupata msaada huo
Msama akielezea mipango zaidi ya kutoa msaada kwa wananchi wenye matatizo
Dahani akiondoka na baiskeli yake baada ya kukabidhiwa na Msama
Msama akimkabidhi Dahani fedha za kufanyia marekebisho baikeli hiyo
Msama akimsaidia Salim Abilu baada ya kumpatia msaada wa baiskeli
Abilu akishukuru kupata msaada huo
Msama akielezea mipango zaidi ya kutoa msaada kwa wananchi wenye matatizo
Comments