Mshindi waTanzania Driver of the Year 2011 kushiriki Mashindano ya Dunia
Erasmus Mtui akizungumza na waandishi wa habari.
Meneja Uendeshaji wa Kampuni ya Scania nchini Tanzania, Mark Cameron(kushoto) akimkabidhi bendera ya Taifa dereva, ErasmusMtui ambaye ni mshindi wa mwaka 2011 anayekwenda kwenye mashindano ya Kimataifa ya Bingwa wa Mabingwa yanayotarajiwa kufanyika Afrika Kusini.Makabidhiano hayo yalifanyika makao makuu ya ofisi za Scania Dar es Salaam
Comments