MZEE MWINYI AKABIDHI MA-TREKTA KWA WAKULIMA WA KWADELO, WILAYA YA KONDOA

 Rais Mstaafu wa awamu ya Pili, Alhaj Ali Hassani Mwinyi akimkabidhi funguo za trekta, Mwenyekiti wa Kijiji  cha Makilinya, Siraji Abdallah Mahingu, wakati wa Mwinyi alipokabidhi trekta tatu kwa wakulima wa Kata ya Kwadelo, Wilaya ya Kondoa mkoani Dodoma, leo, nyumbani kwake, Msasani, Dar es Salaam. Kushoto kwa Mzee Mwinyi ni Diwani wa Kata ya Kwadelo, Omari Kariati aliyefanikisha upatikanaji wa trekta hizo.
 Rais mstaafu, Ali Hassani Mwinyi akiijaribu trekta wakati wa makabidhiano hayo. Kushoto ni Diwani Kariati
 Mzee Mwinyi akiwa na wazee wa CCM kutoka Kata hiyo waliofika katika makabidhiano ya trekta hizo.
 Mzee Mwinyi akiwa katika picha ya pamoja na ugeni huo
Mzee Mwinyi akiwa katika picha ya pamoja na wageni waliofika nyumbani kwake wakati wa makabidhiano hayo.
 Blogger wenu Bashir Nkoromo, naye akapata fursa ya kumsalimia Mzee Mwinyi
 Diwani Omari Kariati na Wazee aliofika nao, wakipata chai na Mzee Mwinyi
Mzee Mwinyi, Kushoto akipata chai na wageni wake

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA