MZEE MWINYI AKABIDHI MA-TREKTA KWA WAKULIMA WA KWADELO, WILAYA YA KONDOA
Rais mstaafu, Ali Hassani Mwinyi akiijaribu trekta wakati wa makabidhiano hayo. Kushoto ni Diwani Kariati
Mzee Mwinyi akiwa na wazee wa CCM kutoka Kata hiyo waliofika katika makabidhiano ya trekta hizo.
Mzee Mwinyi akiwa katika picha ya pamoja na ugeni huo
Mzee Mwinyi akiwa katika picha ya pamoja na wageni waliofika nyumbani kwake wakati wa makabidhiano hayo.
Blogger wenu Bashir Nkoromo, naye akapata fursa ya kumsalimia Mzee MwinyiDiwani Omari Kariati na Wazee aliofika nao, wakipata chai na Mzee Mwinyi
Mzee Mwinyi, Kushoto akipata chai na wageni wake
Comments