PINDA AKUTANA NA UJUMBE TOKA MAREKANI
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Naibu Mshauri wa Masuala ya Usalama katika nyanja ya Kimataifa wa Marekani, Bw. Michael Froman kabla ya Mazungumzo yao Jijini Dar es salaam Julai 13,20132. Kulia ni Balozi wa Marekani Nchini, Bw. Alfoonso E. Lenhardt.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Naibu Mshauri wa Masuala ya Usalama katika nyanja ya Kimataifa wa Marekani, Bw. Michael Froman kabla ya Mazungumzo yao Jijini Dar es salaam Julai 13,20132.Kulia ni Balozi wa Marekani Nchini, Bw. Alfonso E. Lenhardt. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Comments