RAIS DK. SHEIN AFUNGUA MSIKITI WA KIBOJE KATI UNGUJA

Rais wa zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein,(wa pili kulia) akikata utepe
kama ishara ya kuufungua Msikiti wa Ijumaa Masjid Lhudda wa Kiboje
Mwembeshauri,Wilaya ya Kati Unguja leo, (wa kwanza kulia) Mufti wa
Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi, [Picha na Ramadhan Othman,ORZ.]
Miongoni mwa Viongozi waliohudhuria katika hafla ya
Ufunguzi wa Msikiti wa Ijumaa Masjid Lhudda,wa Kiboje
Mwembeshauri,Wilaya ya Kati Unguja uliofunguliwa na Rais wa zanzibar
na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein  leo.
[Picha na Ramadhan Othman,ORZ.]
Rais wa zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein,akitoa nasaha zake mbele ya waumini wa Dini
ya Kiislamu wakati wa sherehe ya ufunguzi wa  Msikiti wa Ijumaa Masjid
lhudda wa Kiboje Mwembeshauri Wilaya ya Kati Unguja leo. [Picha na
Ramadhan Othman,ORZ.]

Rais wa zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Mufti wa Zanzibar Sheikh
Saleh Omar Kabi,pamoja na viongozi wengine alipowasili katika Msikiti
wa Ijumaa Masjid Hudda wa Kiboje Mwembeshauri Wilaya ya Kati Unguja
leo [Picha na Ramadhan Othman,ORZ.]
  Rais wa zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na baadhi ya
wananchi, Waislamu na viongozi alipowasili katika Msikiti wa Ijumaa
Masjid lhudda wa Kiboje Mwembeshauri Wilaya ya Kati Unguja
leo,alipofika kuufungua rasmi. [Picha na Ramadhan Othman,ORZ.]

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI

KOCHA WA AL.AHLY ASEMA YANGA NI TIMU BORA NA NGUMU