Rais wa Rotary duniani azuru Tanzania


 Rais wa Rotary Club ya Dar es Salaam Mzizima, Rotarian Ambrose Nshala (kushoto) akimkabidhi zawadi Rais wa Klabu ya Rotary Kimataifa, Rotarian Sakuji Tanaka kutoka Japani wakati wa hafla ya kumkaribisha nchini iliyofanyika jijini Dar es Salaam jana. Hafla hii ilifanyika katika Hoteli ya Hyatt Regency Kilimanjaro.
 Rais wa Rotary Club ya Dar es Salaam Mzizima, Rotarian Ambrose Nshala (wa pili kushoto) akiwa na baadhi ya wa wanachama wengine wa klabu ya Rotary, katika wa hafla hiyo.

Rais wa Klabu ya Rotary Kimataifa, Rotarian Sakuji Tanaka (kushoto) kutoka Japan akiwa kwenye hafla ya kumkaribisha iliyofanyika jijini Dar es Salaam jana akiwa ameambatana na mkalimani wake.  Kulia mmoja wa viongozi wa juu wa Rotary kutoka Kenya, Geeta Manek.
Kikundi cha sanaa kikitoa burudani katika hafla ya kumkaribisha Rais wa Klabu ya Rotary Kimataifa Rotarian Sakuji Tanaka jijini  Dar es Salaam jana.Kwa hisani ya Father Kidevu Blog

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI

KOCHA WA AL.AHLY ASEMA YANGA NI TIMU BORA NA NGUMU