Rais wa Zanzibar awasili Pemba leo

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Viongozi mbali
mbali,wa Chama na Serikali, alipowasili katika uwanja wa Ndege wa
Karume Pemba leo akiwa katika  ziara maalum ya Mikoa ya Kusini na
Kaskazini.[Picha na Ramadhan Othman,ORZ.]
  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein,na Mkewe Mama Mwanamwema
Shein,wakisalimiana na Viongozi mbali mbali,wa Chama na Serikali,
alipowasili katika uwanja wa Ndege wa Karume Pemba leo akiwa katika
ziara maalum ya Mikoa ya Kusini na Kaskazini.[Picha na Ramadhan
Othman,ORZ.]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Viongozi  wakuu wa
Vikosi vya Ulinzi Pemba, alipowasili katika uwanja wa Ndege wa Karume
Pemba leo akiwa katika  ziara maalum ya mikoa ya Kusini na
Kaskazini.[Picha na Ramadhan Othman,ORZ.]

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.