Rais wa Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein Arejea

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk
Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar
Balozi Seif Ali Iddi,(wa pili kulia) na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mizengo Pinda, na Viongozi mbali mbali wa  vyama
na Serikali,katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume,
wakati alipokuwa akirejea Nchini,akitokea nchini Uimgereza kwa ziara
maalum,katika safari hiyo alifuatana na Mkewe Mama Mwanamwema
Shein,pamoja na Maofisa  wa Serikali.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Viongozi mbali mbali wa
 vyama na Serikali,katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani
Karume, wakati alipokuwa akirejea Nchini,akitokea nchini Uimgereza kwa
ziara maalum,katika safari hiyo alifuatana na Mkewe Mama Mwanamwema
Shein,pampja na Maofisa  wa Serikali.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI

KOCHA WA AL.AHLY ASEMA YANGA NI TIMU BORA NA NGUMU