KIPINDI CHA CHEREKO CHEREKO KUONEKANA TENA KATIKA LUNINGA YA TBC

 Hapa ndipo kipindi cha Chereko Chereko kinapotayarishwa katika Studio ya kisasa ya 2BONDO's PRODUCTIONS.

Mtangazaji wa kipindi cha Chereko Chereko, Angella Gloria Bondo akiwa amepozi kwa picha na mgeni wake, Shabani Mbegu ambaye alifika katika Studio hizo kwa ajili ya kuandaa kipindi cha Chereko Chereko kitakachorushwa hewani siku ya jumapili tarahe 22-7-2012 kuanzia saa moja kamili jioni mpaka 7: 45 katika kituo cha Televisheni cha TBC. Kipindi hiki kitaanza kuonekana tena baada ya kusimama kwa kipindi cha mwaka mmoja na sasa kimerudi tena katika muonekano mpya baada ya kuboreshwa.


Mtangazaji wa kipindi cha Chereko Chereko, Angella Gloria Bondo akiwa amepozi katika Studio za 2BONDO'S PRODUCTIONS.

Mtangazaji wa kipindi cha Chereko Chereko, Angella Gloria Bondo akiwa katika mahojiano na mgeni wake Bwana Harusi, Shabani Mbegu katika Studio za 2BONDO's PRODUCTIONS.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.