SASA NI ZAMU YA MBEYA. WASHIRIKI KIBAO WAJITOKEZA.

Majaji wa EPIQ BSS Wakiwa na meneja wa Mawasiliano wa Zantel, Awaichi Mawalla wakati wakisimama kwa dakika moja kuwakumbuka waliokufa kwa ajali ya meli ya MV Skagit iliyotokea tar 18 July ambapo watu kadhaa wamepoteza maisha kabla ya kuanza kwa shindano hilo mkoani Mbeya kwenye wa   Club Vybes, Mbeya.
Washiriki wakipanga mistari kwaajili ya kufanya usaili.

Washiriki wakibandnamba zao.
Washiriki wakisikiliza maelekezo kwa makini .Kwa hisani ya Raha za Pwani Blog

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

Wasifu wa Kizza Besigye

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA