Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Profesa Makame Mnyaa Mbalawa, akizungumza na Mkurugenzi wa Kitengo cha Mawasiliano cha Kampuni ya Simu za mkononi Airtel Tanzania, Beatrice Singano nje ya Ukumbi wa Bunge mjini Dodoma, muda mfupi baada ya kupitishwa kwa Bajeti ya Wizara hiyo kwa mwaka 2012/13
 Naibu Waziri Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba (kushoto) akiwa na Meneja Mawasiliano wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania, Innocent Mungy nje ya Ukumbi wa Bunge mjini Dodoma, muda mfupi baada ya kupitishwa kwa Bajeti ya Wizara hiyo kwa mwaka 2012/13
Naibu Waziri, Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba akipongezwa na Mkurugenzi wa Kitengo cha Mawasiliano cha Kampuni ya Simu za mkononi Airtel Tanzania, Beatrice Singano nje ya Ukumbi wa Bunge mjini Dodoma muda mfupi baada ya kupitishwa kwa Bajeti ya Wizara hiyo kwa mwaka 2012/13

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.