SHEREHE ZA KUWAPA VYETI MAWAKILI WAPYA
Mdau Mathias Budodi kabla ya kupata nondozzzi
Jaji Mkuu wa Tanzania, Othman Chande akimkabidhi cheti cha uwakili, Mathias Budodi katika sherehe zilizofanyika kwenye viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam.Chanzo. Habari Mseto Blog
Jaji Mkuu wa Tanzania, Othman Chande akiwa katika picha ya pamoja na mawakili wapya.
Mathias Budodi akiwa na ndugu zake baada ya kupata cheti cha uwakili
Comments