SIMBA NGOMA DROO NA VITA YA DRC CONGO

 Mchezaji wa TP Vita Club ya DRC, akiwatoka Kigi Makasi na Kanu Mbiayavanga wa Simba
wakati wa mchezo wa Klabu Bingwa Afrika Mashariki ya Kagame Cup, Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam leo. Timu hizo zimetoka sare ya bao1-1.. (PICHA NA KASSIM MBAROUK)
Mashabiki wa timu ya Simba wakifuatilia mchezo wa Klabu Bingwa ya Afrika ya Mashariki
na Kati, kati ya timu yao na TP Vita Club ya DRC, Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI

KOCHA WA AL.AHLY ASEMA YANGA NI TIMU BORA NA NGUMU