Mchezaji wa TP Vita Club ya DRC, akiwatoka Kigi Makasi na Kanu Mbiayavanga wa Simba
wakati wa mchezo wa Klabu Bingwa Afrika Mashariki ya Kagame Cup, Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam leo. Timu hizo zimetoka sare ya bao1-1.. (PICHA NA KASSIM MBAROUK)
Mashabiki wa timu ya Simba wakifuatilia mchezo wa Klabu Bingwa ya Afrika ya Mashariki
na Kati, kati ya timu yao na TP Vita Club ya DRC, Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam
wakati wa mchezo wa Klabu Bingwa Afrika Mashariki ya Kagame Cup, Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam leo. Timu hizo zimetoka sare ya bao1-1.. (PICHA NA KASSIM MBAROUK)
Mashabiki wa timu ya Simba wakifuatilia mchezo wa Klabu Bingwa ya Afrika ya Mashariki
na Kati, kati ya timu yao na TP Vita Club ya DRC, Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam
Comments