Tamasha la Filamu Mjini Tanga


 Meneja Masoko wa Kampuni ya Bia Tanzania,Fimbo Butallah akimkabidhi zawadi Mtoto Omary Juma alieibuka mshindi wa jumla wa kucheza muziki katika muendelezo wa Tamasha la Wazi la Filamu nchini lililokuwa limedhaminiwa na Kampuni hiyo kupitia kinywaji chake kisicho na kilevi cha Grand Malt.
 Meneja Masoko wa Kampuni ya Bia Tanzania,Fimbo Butallah akizungumza wakati wa kufunga Tamasha la Wazi la Filamu ambalo limefika Tamati jioni ya leo kwenye Viwanja vya Tangamano,jijini Tanga.
 Meneja Masoko wa Kampuni ya Bia Tanzania,Fimbo Butallah na Mratibu wa Tamasha hilo la Wazi la Filamu,Mussa Kisoky wakiwa pamoja na Watoto waliofika katika hatua ya nne bora katika shindano la Kucheza muziki wakati wa Tamasha la wazi la Filamu lililokuwa likifanyika kwenye viwanja vya Tangamano,jijini Tanga.
Kidugu tu kwenda mbele

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA