TANESCO ILALA NA TEMEKE WACHARUKA, Ni kwenye ukamataji wa wezi wa umeme, mifumo ya kisasa yawangoza kugundua wezi, Ilala yapandisha kizimbani 18 Temeke 13. Makusanyo yaongezeka.

Meneja wa Tanesco kanda ya Temeke Richard Mallamia akiwaonyesha waandsishi wa habari mita iliyochezewa na kuunganishwa umeme kinyume na mfumo wa kawaida ilikuiba umeme kwenye duka mojaenep la Kigamboni ambapo zoezi la kukamata wezi wa umeme linaendelea.
Mafundi wakisoma mita na kuandika kumbukumbu zake kwani mita mbilizipo sehemu moja huku moja ikionyesha haina umeme na yenye umeme hata vikiwashwa vitu vyote ndani umeme haupungui 'hiyo ni Kigamboni'
Wataalamu wa mifumo ya umeme na mafundi wa Tanesco kanda ya Temeke wakiangalia namna mita ilivyochezewa na kuiba umeme kwenye nyumba ya mfanyabishara Jamal Hassan eneo la Kigamboni na kuiba umeme.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA