TIMU YA TAIFA YA VIJANA YA RWANDA YAIFUNGA TANZANIA 2-1
Mshambuliaji wa timu ya Taifa ya Vijana ya Tanzania 'Ngorongoro Heroes', Ramadhan Singano akiwatoka mabeki wa timu ya taifa ya Vijana ya Rwanda katika mchezo wa Kimataifa wa kirafiki uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Picha na Habari Mseto Blog.
Kiungo wa timu ya Taifa ya Vijana ya Tanzania ‘Ngorongoro Heroes’ Omega Seme (kulia) akichuana na mshambuliaji wa Rwanda, Ruhinda SaifiKwa hisani ya Habari Mseto Blog
Kiungo wa timu ya Taifa ya Vijana ya Tanzania ‘Ngorongoro Heroes’ Omega Seme (kulia) akichuana na mshambuliaji wa Rwanda, Ruhinda Saifi katika mchezo wa kimataifa wa kirafiki uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam jana. Ngorongoro Heroes inajiandaa na mashindano ya Rwanda ilishinda 2-1.
Comments