TUSKER, PORTS ZAKAMILISHA TIMU KOMBE LA KAGAME


Tusker ya Kenya na Ports ya Djibouti zinawasili leo jioni kukamilisha idadi ya timu kumi na moja zinazoshiriki mashindano ya Kombe la Kagame yanayoanza kesho Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. 
 
Mechi za kesho ni APR ya Rwanda dhidi ya El Salam Wau ya Sudan Kusini itakayoanza saa 8 kamili mchana na kufuatiwa na ya saa 10 kamili jioni kati ya mabingwa watetezi Yanga na Atletico ya Burundi. 
 
Timu zote kutoka nje ya mazoezi zimeshapangiwa viwanja vya mazoezi ambapo zitavitumia kwa mujibu wa ratiba ambayo imepangwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF). Makazi ya timu hizo na viwanja vya mazoezi ni kama ifuatavyo;
Timu:                   Uwanja wa mazoezi:              Accommodation:
APR (Rwanda)       Mabibo Hostel                         - Marriott Hotel (Mabibo External)
AS Vita (Congo)    University of Dar es Salaam     - Chichi Hotel (Kinondoni)
Atletico (Burundi) Mabibo Hostel                         - Lunch Time Hotel (Mabibo Hostel)
Azam (Tanzania)   Azam Complex                        - Azam Complex (Chamazi)
El Salam Wau (S. Sudan) Zanaki Sekondari           - Rungwe Hotel (Kariakoo)
Mafunzo (Z’bar)    Kinesi                                     - Rombo Green View Hotel (Sinza)
Ports (Djibouti)     Kinesi                                     - Rombo Green View Hotel (Sinza)
Simba (Tanzania)  …………………….                         – Vina Hotel (Mabibo Makutano)
Tusker (Kenya)     Zanaki Sekondari                     - Rungwe Hotel (Kariakoo)
URA (Uganda)       Loyola                                     - Valentino Royal Hotel (Kariakoo)
Yanga (Tanzania)  ………………….                            – ……………………….

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI

KOCHA WA AL.AHLY ASEMA YANGA NI TIMU BORA NA NGUMU