WANAMICHEZO WA TANZANIA KATIKA UZINDUZI WA MICHEZO YA OLIMPKI USIKU WA KUAMKIA LEO JIJINI LONDON UINGEREZA

Wanamichezo wa timu ya Tanzania wakipita na bendera katika uzinduzi wa mashindano michezo ya Olimpiki iliyozinduliwa usiku wa kuamkia leo jijini London nchini Uingereza Crew ya Fullshangwe inawatakia wanamichezo hao mafanikio katika mashindano hayo na wapeperushe bendera ya Tanzania na kurejea na medali nyingi kwa kuiletea sifa nchi yao Tanzania na wao wenyewe
Wanamichezo wa Tanzania wakipita huku wakinyanyua juu vibendera vya Taifa wakati wa uzinduzi wa michezo ya Olimpiki jijini London usiku wa kuamkia leo.
Baadhi ya wanamichezo wakipiga picha katika kijiji cha Olimpki nchini Uingereza. Chanzo; Full Shangwe Blog

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA