WATATU KUCHUANA UENYEKITI YANGA

                                                                                 Manji

Jambele
KAMATI ya uchaguzi ya klabu ya Yanga imesema mpaka sasa ni wagombea watatu tu ndio wamepitishwa kugombea nafasi ya Uenyekiti wa klabu hiyo kupitia uchaguzi mdogo utakaofanyika JUlai 15 kwenye ukumbi wa Diamond Jubille jijini Dar es Salaam.

Katibu wa kamati hiyo Francis Kaswahili amelazimika kutoa ufafanuzi huo baada ya baadhi ya vyombo vya habari kuripoti kuwa ni wagombea wawili tu ndio wanaochuana katika nafasi hiyo.

Kaswahili amesisitiza kuwa wanaowania uenyekiti ni pamoja na Yusuf manji, John Jambele na Edger Chibura.Chanzo; Dina Ismail Blog

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*