WEMA SEPETU NA JAQUILINE WALPER FULL MASUMBWI ULINGONI
Mabondia ambani ni wacheza filamu maarufu nchini Wema Sepetu kushoto na Jacklen Wolper wakioneshana ufundi wa kutupiana masumbwi wajkati wo Tamasha la vMatumaini lililofanyika jumamosi katika uwanja wa Taifapicha na www.superdboxingcoach. |
Bondia Wema Sepetu akimkimbia mpanzani wake Jacklen Wolper wakati wa mpsambano wao picha na www.superdboxingcoach. blogspot.com
Refa John Chagu akiwainua mikiono juu mabondia Jacklen Wolper kushoto na Wema Sepetu kuashiria mpambano wao ni droowww.superdboxingcoach. blogspot.com
WEMA NA WOLPERwakipozi kwa picha
Mdau wa mchezo wa Masumbwi Nchini Ibrahimu Kamwe akimwelekeza bondia Wema Sepetu picha na www.superdboxingcoach. blogspot.com
Baada ya mpambano wawili hawo hawo wanaondoka eneo la tukio
Comments