AIRTEL YAFUTURISHA WATEJA WAKE JIJINI ARUSHA.

Meneja Huduma wa Airtel Tanzania, Hilda Nakajumo (kulia), pamoja na baadhi ya wateja wao wa makampuni, wakipakua chakula katika hafla ya futari waliyoiandaa kwa wateja wao, katika Hoteli ya Naura Springs jijini Arusha jana. Kushoto ni Anne Gitarda na Evelyn James, wote kutoka katika ofisi za UN-ICTR jijini humo.
Baadhi ya wateja wa makampuni wa Airtel Tanzania wa Mkoani Arusha wakichota uji katika hafla ya futari iliyoandaliwa na Airtel Tanzania,  katika Hoteli ya Naura Springs jijini Arusha.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI