Wahamiaji haramu 39 kutoka Somalia wamedumbukizwa kwa makusudi na dereva wa Lori kwenye daraja eneo la Himo, mkoani Kilimanjaro leo hii.
Kamanda wa Matukio inaahidi kuwaletea habari zaidi, kadri itakavyokuwa inazipata.
Kamanda wa Matukio inaahidi kuwaletea habari zaidi, kadri itakavyokuwa inazipata.
Comments