CHAMA CHA WALIMU CWT CHATOA TAMKO LAKE KWA SERIKALI

 Rais wa Chama Cha walimu Tanzania Bw. Gratian Mukoba (Kushoto) akiongea na waandishi wa habari leo katika makao makuu ya Chama hicho jijini Dar es Salaam kuhusiana na Tamko lao  kwa serikali kutaka iwarudishie madaraka wakuu wote waliovuliwa nyadhifa zao kwakuwa ni viongozi wa (CWT) ndio waliohamasisha mgomo. 
Vilevile chama hicho kimeitaka serikali  kufuta nia yake ya kuwashitaki walimu zaidi ya 180,000 walioshiriki mgomo kati ya walimu 233,440 walioko nchini kwani kwa kufanya hivyo watoto wa maskini wanaotegemea walimu hao kufundisha watakosa haki yao ya kufundishwa.Kulia na Kaimu katibu mkuu wa chama hicho Bw, Ezekiel Olotu.
(PICHA NA PHILEMON SOLOMON WA FULLSHANGWE)
)Baadhi ya Waandishi wa habari waliohudhuria katika mkutano huo wakifuatilia taarifa iliyokuwa ikitolewa na Rais wa Chama cha walimu CWT nchini.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.