CRDB YAFUTURISHA JIJINI TANGA
Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Luteni mstaafu, Chiku Galawa akipeana mkono na Meneja Huduma kwa Wateja wa Benki ya CRDB, Godwin Semunyo wakati wa hafla ya kufuturisha iliyoandaliwa na benki hiyo kwa wateja wake. Kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Tanga mjini, Halima Dendegu.(Picha na Habari Mseto Blog)
Maofisa wa Benki ya CRDB
Meneja wa CRDB Tawi la Tanga, Evalist Mnyele (kulia) akiwa na Maofisa wa Benki hiyo wakati wa hafla ya kufuturisha. iliyofanyika jijini Tanga.
Baadhi ya wageni wakipata futari.
Comments