HARAKATI ZA UCHAGUZI WA CCM WILAYA NA MKOA WA LINDI WAANZA.
Naye Mwenyekiti wa Wenyeviti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania ambae Pia ni Mwenyekiti
wa CCM mkoa wa Lindi Bwana Ally Mohamed Mtopa amechua fomu kutetea nafasi yake hiyo Mjini Lindi.
Katika heka heka hizo Ngazi ya wilaya Mwenyekiti mtetezi wa nafasi hiyo Bw Manyanya Mohamed Nasib nae amechukua fomu kutetea kiti chake Huku Muhsin Rafii akitupa karata yake kwa Mara ya pili kugombea Nafasi hiyo baada ya Kushindwa katika Uchaguzi wa mwaka 2007.
Naye Mwenyekiti wa Wenyeviti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania ambae Pia ni Mwenyekiti
wa CCM mkoa wa Lindi Bwana Ally Mohamed Mtopa amechua fomu kutetea nafasi yake hiyo Mjini Lindi.
Comments