HATIMAYE OKWI AREJEA SIMBA SC

HATIMAYE mshambuliji wa kimataifa wa Simba, Mganda Emmanuel Okwi amewasili mchana wa leo.
Okwi ni mmoja ya wachezaji watakaokuwemo kesho katika kikosi cha Simba kitakachomenyana na City Stars ya Kenya katika mechi maalum ya maadhimisho ya Simba Day.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

Wasifu wa Kizza Besigye

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA