HUKUMU KESI YA UBUNGE IGUNGA LEO

Mbunge wa Sasa wa Jimbo la Igunga, Dk. Dalally Peter Kafumu akifurahi baada ya kushinda katika uchaguzi  mdogo uliofanyika Septemba mwaka jana katika jimbo hilo, kufuatia kiti kubaki wazi baada ya aliyekuwa mbunge wake, Rostam Aziz kujiuzulu kutokana na kashfa za ufisadi. Aliyemfuatia kwa karibu katika ushindi alikuwa mgombea wa Chadema Joseph Kashindye, chama ambacho ndicho kilienda mahakamani kupinga matokeo.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI

KOCHA WA AL.AHLY ASEMA YANGA NI TIMU BORA NA NGUMU