Rais Jakaya Kikwete (kushoto) akiwa amepokea fomu kutoka kwa Kamishna wa Sensa Tanzania, Amina Mrisho, tayari kuhesabiwa katika Sensa ya Watu na Makazi nyumbani kwake Ikulu, Dar es Salaam leo. Rais na familia yake walihesabiwa kwa siri na Karani wa Sensa, Clement Ngallaba. (PICHA NA RICHARD MWAIKENDA)
Rais Kikwete na mkewe Mama Salma wakiondoka kwenda chumba maalumu kwa ajili ya kuhesabiwa
Rais Jakaya Kikwete akihamasisha wananchi kujitokeza kuhesabia mara baada ya kutoka kuhesabiwa yeye na familia yake, nyumbani kwake Ikulu, Dar es Salaam leo. Kulia kwake ni mkwewe Mama Salma Kikwete.
Rais Kikwete na mkewe Mama Salma wakiondoka kwenda chumba maalumu kwa ajili ya kuhesabiwa
Rais Jakaya Kikwete akihamasisha wananchi kujitokeza kuhesabia mara baada ya kutoka kuhesabiwa yeye na familia yake, nyumbani kwake Ikulu, Dar es Salaam leo. Kulia kwake ni mkwewe Mama Salma Kikwete.
Comments