KIKOSI CHA KUTULIZA GHASIA CHAWAFURUMUSHA KWA MABOMU WACHIMBA KOKOTO WALIOFANYA VURUGU KIGAMBONI DAR


 Askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU), wakiwa wameweka doria katika barabara kuu ya kutoka Kigamboni kwenda Mji Mwema Dar es Salaam leo, baada ya kudhibiti vurugu za wachimba  kokoto wa eneo la Maweni ambao walifunga barabara hiyo kwa mawe kwa zaidi ya masaa natatu na kuchoma matairi wakishinikiza kuruhusiwa kuchimba kokoto.
Baadhi ya mawe yaliyoondolewa barabarani baada ya kuwekwa na wachimba kokoto eneo la Maweni, Kigamboni. Watu kadhaa wanaotuhumiwa kufanya vurugu hizo wametiwa mbaroni.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.