KUKOPI NA KUPESTI!!

Jamani hizi chabo ni balaa kwenye chumba cha mtihani

Wakati mwingine yuko bize anaumiza kichwa darasani mwingine kiurahisi anahamisha tuuu..!

Chabo kwa akina dadaz kwa pajaz..aaaah eti ndomana wanafaulu sana siku hizieeeeeeeh!!!?

Una ujasiri wa kukusachi hadi huku wanafunzi 150?...mmmh

Dah 'kibomu' kimenaswapo....

Wale wa kanuni...leoleo..

Hata pale simu zilipo katazwa kutinga chumba pepa uhamishaji uliendelea kama kawize...

Huko nchini japani wasimamizi wa mitihani huingia na vifaa maalumu vya kufanyia ukaguzi kugundua vifaa vya elektoniki kwa watahiniwa.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA