KUTOKA MJENGONI KWA WATUNGA SHERIA MKOANI DODOMA.
Mwingulu Mchemba (kulia) wa jimbo la Iramba Mashariki akibadilishana hoja na Mbunge wa Namtumbo Vita Kawawa Bungeni Dodoma |
Maafisa wa Bunge wakifuatilia hoja mbalimbali za Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi kwa mwaka wa Fedha 2012-2013. |
Mbunge wa Kinondoni Iddi Azan (kulia) na Mbunge wa Muheza Hebert Mtangi wakielekea ndani ya Ukumbi wa Bunge mjini Dodoma .
Naibu Spika Job Ndugai (kushoto) akimsikiliza Mbunge wa Same Mashariki Anne Kilango Malecela katika viwanja vya Bunge –Dodoma,(Picha na Mwanakombo Jumaa-MAELEZO)
Comments