KUTOKA MJENGONI KWA WATUNGA SHERIA MKOANI DODOMA.

Mwingulu Mchemba (kulia) wa jimbo la Iramba Mashariki akibadilishana hoja na Mbunge wa Namtumbo Vita Kawawa  Bungeni Dodoma
Maafisa wa Bunge wakifuatilia hoja mbalimbali  za Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi kwa mwaka wa Fedha 2012-2013.
Mbunge wa Kinondoni Iddi Azan  (kulia) na Mbunge wa Muheza Hebert Mtangi wakielekea ndani ya Ukumbi wa Bunge mjini Dodoma .
Naibu Spika Job Ndugai (kushoto) akimsikiliza Mbunge wa Same Mashariki Anne Kilango Malecela katika viwanja vya Bunge Dodoma,(Picha na Mwanakombo Jumaa-MAELEZO)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*