Waombolezaji wakitoa heshima za mwisho kwa marehemu Mhandisi Wilfred Maligo Mtebe (60), ambaye alikuwa anafanya kazi Kampuni ya Jandu Plumbers, Dar es Salaam. alifariki Agosti 15 mwaka huu baada ya kuugua kiharusi. aliagwa nyumbani kwake marehemu Tabata Liwiti na kuzikwa katika makaburi ya Tabata Segerea.
Mjane wa marehemu, akiaga
Mjane Marry Temu akiweka shada la maua kwenye kaburi la mumewe
Mjane wa marehemu, akiaga
Mjane Marry Temu akiweka shada la maua kwenye kaburi la mumewe
Comments