KWA HERI MHANDISI MTEBE

 Waombolezaji wakitoa heshima za mwisho kwa marehemu Mhandisi Wilfred Maligo Mtebe (60), ambaye alikuwa anafanya kazi Kampuni ya Jandu Plumbers, Dar  es Salaam. alifariki Agosti 15 mwaka huu baada ya kuugua kiharusi. aliagwa nyumbani kwake marehemu Tabata Liwiti na kuzikwa katika makaburi ya  Tabata Segerea.



                                            Mjane wa marehemu, akiaga
Mjane Marry Temu akiweka shada la maua kwenye kaburi la mumewe

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*