Kamati ya Uchaguzi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imefanya mabadiliko madogo katika ratiba za uchaguzi za wanachama wa TFF. Ratiba za uchaguzi za vyama wanachama wa TFF ambavyo vimekwishaanza mchakato na ambavyo havijaanza mchakato wa uchaguzi itakuwa kama ifuatavyo:
 
CHAMA MWANACHAMA WA TFF
Tarehe ya Kuanza Mchakato wa uchaguzi
Tarehe ya Uchaguzi
Arusha Region Football Association (ARFA)
27-Aug-2012
7-Oct-2012
Dar es Salaam Region Football Association (DRFA)
3-Sep-2012
14-Oct-2012
Geita Region Football Association (GEREFA)
29-Sep-2012
10-Nov-2012
Iringa Region Football Association (IRFA)
28-Jul-2012
8-Sep-2012
Katavi Region Football Association
29-Sep-2012
10-Nov-2012
Kigoma Region Football Association (KRFA)
21-Jul-2012
1-Sep-2012
Kilimanjaro Region Football Association (KRFA)
31-Jul-2012
8-Sep-2012
Lindi Region Football Association (LIREFA)
8-Sep-2012
20-Oct-2012
Manyara Region Football Association (MARFA)
21-Jul-2012
15-Sep-2012
Mbeya Region Football Association (MREFA)
8-Sep-2012
21-Oct-2012
Mwanza Region Football Association (MZFA)
29-Sep-2012
8-Nov-2012
Njombe Region Football Association (NJOREFA)
4-Aug-2012
15-Sep-2012
Coast Region Football Association (COREFA)
3-Sep-2012
14-Oct-2012
Rukwa Region Football Association (RUREFA)
27-Aug-2012
7-Oct-2012
Football Association of Ruvuma (FARU)
22-Sep-2012
3-Nov-2012
Shinyanga Region Football Association (SHIREFA)
8-Sep-2012
20-Oct-2012
Simiyu Region Football Association (SIFA)
15-Sep-2012
27-Oct-2012
Tabora Region Football Association (TAREFA)
27-Aug-2012
6-Oct-2012
Tanga Region Football Association (TREFA)
22-Sep-2012
3-Nov-2012



Tanzania Football Coaches Association (TAFCA)
29-Sep-2012
10-Nov-2012
Tanzania Sports Medicine Association (TASMA)
15-Sep-2012
27-Oct-2012
Soccer Players Union of Tanzania ( SPUTANZA)
15-Sep-2012
28-Oct-2012
Football Referee’s Association of Tanzania (FRAT)
21-Aug-2012
30-Sep-2012
Tanzania Women Football Association (TWFA)
22-Sep-2012
4-Nov-2012
 
TFF inavitaka vyama wanachama wake kuzingatia kikamilifu ratiba hii iliyotolewa na Kamati ya Uchaguzi ya TFF na Kanuni za uchaguzi za wanachama wa TFF katika kutimiza wajibu wao wa kikatiba.
 
Kamati ya Uchaguzi ya TFF haitabadilisha ratiba hiyo kutokana na wilaya yoyote kutokamilisha uchaguzi wake, na hivyo inazitaka Kamati za Uchaguzi za Mikoa kuhakikisha chaguzi zinafanyika kwa mujibu wa ratiba hii.
 
Kamati pia inazitaka Kamati za Uchaguzi za Mikoa kusimamia kikamilifu na kwa umakini chaguzi za wilaya zinazoendelea kwenye wilaya zilizo mikoani kwao. Ni muhimu kwa kamati kuhakikisha Kanuni za Uchaguzi za Wanachama wa TFF zinafuatwa na kusimamiwa kwa umakini.
 
Kamati ya Uchaguzi ya TFF pia imebaini kuwa kuna Kamati za Uchaguzi za Mikoa ambazo hazikusimamia kikamilifu chaguzi za viongozi wa wilaya, kitu ambacho kinaweza kusababisha matatizo hapo baadaye. Kwa mara nyingine, Kamati ya Uchaguzi ya TFF inazitaka Kamati za Uchaguzi za Mikoa kuhakikisha wanaoomba kugombea uongozi kwenye wilaya, wana sifa zinazolingana na utashi wa Kanuni za Uchaguzi za Wanachama wa TFF na Katiba.
 
Wanachama ambao hawakuzingatia ratiba hiyo, hawatapewa fursa nyingine ya kubadilisha tarehe za uchaguzi na hilo litakapotokea hatua za kikanuni zitachukuliwa

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI